Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Nyota Ya Mafanikio Na Kibali - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali

NYOTA YA MAFANIKIO NA KIBALI

0.4
2
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
5,000 Tsh.
Vendor:
Added To Cart:
0
Added to shop:
Feb 25, 2025
Product Views:
82
In category:
Sample

Nyota ya mfanikio ni siri kubwa katika ulimwengu wa roho ambapo watu wengi watumishi wa Mungu hawajui, watu wa giza ndio wanazungumzia sana mambo ya nyota

NYOTA YA MWANADAMU YAWEZA,

1. Kuibiwa

2. Kufunikwa au 3.Kufungwa.


1. KUIBIWA NYOTA.


“  Lakini  watu  hawa  ni  watu  walioibiwa  na  kutekwa  wote wamenaswaika     mashimo,     wamefichwa    katika     magereza; wamekuwa mawindo, wala hapana aokoaye; wamekuwa mateka wala hapana asemaye rudisha ” Isaya 42:22

Neno  hili  linatumia  lugha  ya  ajabu  sana,  linasema  watu  hawa, inamaana wanaonekana, tunaishinao, tunasalinao, tunaombanao na tunafanyanao huduma lakini wameibiwa. Kiuhalisia mtu aliyeibiwa huwa anafichwa sehemu na kulindwa ili asitoke lakini huyu yeye ameibiwa ila yeye anaonekana. Ameibiwa nini? Mambo ya rohoni. Mtu   huwa   hastuki   sana   ukigusa   mambo   ya   rohoni   maana mwanadamu anaishi mwilini kwa asilimia kubwa kwa mfano mtuu ukimweleza kuwa mwanao amefukuzwa kazi, anastuka sana lakini ukimweleza kuwa mwanao ameibiwa nyota, anashangaa na anaona jambo la kawaida, kumbe ni bora tatizo la kimwili maana lenyewe sio la kudumu kuliko tatizo la kiroho maana lenyewe ni la kudumu. Mtu akifukuzwa kazi ana matumaini ya kupata kazi nyingine ila akiibiwa nyota yake, ameharibiwa maisha yake kabisa. Inamaana kama ni kazi, hatapata nyingine, kama ni biashara ndio amekuwa maskini hata kama ana mali atashangaa zinaishaje wala hatakuwa na  majibu.  Hata  akipata  kazi  nyingine  ataishia  hasara  na  kisha kufilisika kabisa au kufukuzwa kila anakokwenda



DALILI ZA MTU ALIYEIBIWA NYOTA YAKE,



{i} Kukosa kibali ghafla,

{ii} Hali ya kukata tamaa  inakuwa ya kawaida kwake, {iii} Mawazo yanaongezeka sana,

{iv}  Kupata  magonjwa  yanayoshika  sana  na  hayaponi kirahisi,

{v} Matumizi yasiyokuwa ya lazima huongezeka,

{vi} Kama anasali, anajaa Roho mtakatifu kwa muda kisha anaondoka.


{i} Kukosa kibali ghafra.


Mtu   aliyeibiwa   nyota   yake   anapoteza   pia   kibali   kama   ni mfanyabiashara, hawezi kupata wateja tena, kama ni mwanafunzi anachukiwa ghafra na baadhi ya waalimu na wanafunzi wenzake, kama ni mwanasiasa, anaanza hadi kuzomewa majukwaani, kama ni binti au kijana anatafuta mchumba, atatafuta sana bila mafanikio na kama  ni mwana  ndoa, ndoa  inakuwa  na migogoro  mingi na inakuwa kwenye hatihati ya kuvunjika kila siku.


{ii} Hali ya kukata tamaa inakuwa ya kawaida kwake.


Nyota  ya  mtu  ikiibiwa,  mtu  huyu  anakata  tamaa  hata  kama anafanya biasharaanaweza kukwambia … “ Unavyoona hivi, mimi nitaacha  biashara  ”  anaweza  pia  kuacha  kazi  ofisini  wengine hufikia mpaka kuchukua hatua mbaya ya kujiua kwa sababu daima anaona  kushindwa  tu  katika  kila  analofanya,  na jamii  unakuta haimuelewi.


USHUHUDA na 1:


Nilikutana na dada mmja alikuwa anaishi maisha ya shida sana hata  chakula  ni  cha  shida  mume  wake  alikuwa  na  studio ya kurekodi  miziki  yenye  mtaji  wa  milioni  50,  ikaungua  moto, alikuwa anafanya kazi Tanroad akajisikia tu kuacha kazi ili akae nyumbani ile kaziyake akaenda kumkabidhi rafiki yake. Maisha yake yakaharibika  akawa  na  migogoro  isiyoisha  kwenye  ndoa yake,  wakati  nakutana  naye  alikuwa  amekata  tamaa  kabisa. Shida kubwa ya familia ya dada huyu ni kwamba nyota yake na nyota    ya    mume    wake    zilikuwa    zimechukuliwa    ndicho kilichopelekea  miradi yao yote  kusambaratika  na  maisha yao kuharibika kabisa.


More Products On Discount
More Products From This Seller
10,000 Tsh.
(4)

Sold by: Prophet Pd John

10,000 Tsh.
(8)

Sold by: Prophet Pd John

2,000 Tsh.
(9)

Sold by: Prophet Pd John

5,000 Tsh.
(1)

Sold by: Prophet Pd John

5,000 Tsh.
(2)

Sold by: Prophet Pd John

13,700 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

21,000 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

12,500 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

12,500 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

22,000 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

15,000 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

3,000 Tsh.
(7.8)

Sold by: Prophet Pd John

17,500 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

17,500 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

20,000 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

17,500 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

15,000 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

20,000 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

5,000 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

17,500 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

15,000 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

20,000 Tsh.
(5)

Sold by: Prophet Pd John

Best Sellers List
Best Seller
10,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PASTOR TONY OSBORN

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

GetValue Recommendations
Old is Gold