Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Matters Of The Blood - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali

MATTERS OF THE BLOOD

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
10,000 Tsh.
Added To Cart:
0
Added to shop:
Aug 29, 2024
Product Views:
15
In category:
Sample

Mafanikio yoyote katika maisha ya Mwanadamu iwe ameokoka au hajaokoka yanahusiana kwa kiasi kikubwa sana na ushirikiano wa damu alionao mtu na familia yake au ukoo wake.Wapo watu ambao pamoja na kuokoka bado wanaishi maisha ambayo yanafanana kabisa na ndugu zao wengine katika familia au ukoo wao. Wapo watu ambao pamoja na kuokoka bado wanateseka na magonjwa ya kifamilia, shida, mikosi na roho fatilizi za kifamilia. Neno la Mungu linasema; “Ewe Yerusalemu! Mtu akitaka kutumia methali juu yako atasema: 'Kama mama alivyo ndivyo alivyo binti yake." (Ezekieli 16:44). Hii inaonyesha kuwa inawezekana kabisa alipokwama, kushindwa au kuanguka mama yako au baba yako na wewe ukakwama na kuanguka hapohapo. Damu ya Yesu iliyomwagika pale msalabani ilimwagika kwa makusudi kabisa ya kutuokoa sisi kutoka katika miunganiko ya damu ya familia zetu na koo zetu ambazo kwa namna moja au nyingine zimekuwa kizuizi chetu kikubwa katika kufikia mafanikio na makusudi ya Mungu maishani mwetu. Neno la Mungu linasema; “Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya.” (2Kor 5:17) Kitabu hiki kitakufungua macho na kukufundisha namna ambavyo muunganiko wa damu katika familia yako unaweza kuathiri maisha yako, lakini utajifunza kwa upana zaidi somo la Laana na hasa Laana za familia ambazo zimekuwa zikiwatesa watu wengi. Muhimu zaidi kitabu hiki kimeambatana na Maombi ambayo yatakuongoza na kukusaidia hata kwa mtu asiyejua kuomba kabisa kutoka katika vifungo vya familia vinavyosababishwa na muunganiko wa damu na maombi ya kujitoa katika Laana na kujiambatanisha na baraka ya Mungu. Kitabu hiki kitayabadilisha maisha yako na kukupa mwanzo mpya katika safari yako ya Wokovu. Mungu akubariki

Mafanikio yoyote katika maisha ya Mwanadamu iwe ameokoka au hajaokoka yanahusiana kwa kiasi kikubwa sana na ushirikiano wa damu alionao mtu na familia yake au ukoo wake.

Wapo watu ambao pamoja na kuokoka bado wanaishi maisha ambayo yanafanana kabisa na ndugu zao wengine katika familia au ukoo wao. Wapo watu ambao pamoja na kuokoka bado wanateseka na magonjwa ya kifamilia, shida, mikosi na roho fatilizi za kifamilia.

Neno la Mungu linasema; “Ewe Yerusalemu! Mtu akitaka kutumia methali juu yako atasema: 'Kama mama alivyo ndivyo alivyo binti yake." (Ezekieli 16:44).

Hii inaonyesha kuwa inawezekana kabisa alipokwama, kushindwa au kuanguka mama yako au baba yako na wewe ukakwama na kuanguka hapohapo.

Damu ya Yesu iliyomwagika pale msalabani ilimwagika kwa makusudi kabisa ya kutuokoa sisi kutoka katika miunganiko ya damu ya familia zetu na koo zetu ambazo kwa namna moja au nyingine zimekuwa kizuizi chetu kikubwa katika kufikia mafanikio na makusudi ya Mungu maishani mwetu.

Neno la Mungu linasema;

“Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya.” (2Kor 5:17)

Kitabu hiki kitakufungua macho na kukufundisha namna ambavyo muunganiko wa damu katika familia yako unaweza kuathiri maisha yako, lakini utajifunza kwa upana zaidi somo la Laana na hasa Laana za familia ambazo zimekuwa zikiwatesa watu wengi.

Muhimu zaidi kitabu hiki kimeambatana na Maombi ambayo yatakuongoza na kukusaidia hata kwa mtu asiyejua kuomba kabisa kutoka katika vifungo vya familia vinavyosababishwa na muunganiko wa damu na maombi ya kujitoa katika Laana na kujiambatanisha na baraka ya Mungu.

Kitabu hiki kitayabadilisha maisha yako na kukupa mwanzo mpya katika safari yako ya Wokovu.

Mungu akubariki

More Products On Discount
25,000 Tsh. 10,000 Tsh.

Sold by: Msafiri Lwihula

5,000 Tsh. 1,000 Tsh.

Sold by: RAMV MRUMA

6,000 Tsh. 5,000 Tsh.

Sold by: Godius Rweyongeza

3,999 Tsh. 1,999 Tsh.

Sold by: Daudi Lubeleje

98,000 Tsh. 60,000 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

More Products From This Seller
Best Sellers List
Best Seller
2,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
4,000 Tsh.

Sold by: Mashaka Khamis

GetValue Recommendations
Old is Gold