
KUSUDI LAKO THAMANI YAKO
---rnrnKitabu: Kusudi Lako, Thamani YakornVitambue Vikwazo Kumi Vinavyoficha Thamani YakornrnKitabu hiki kinakuongoza kutambua na kuvuka vikwazo vinavyoficha kusudi na thamani yako ya kipekee. Kinaamsha uelewa wa ndani kuhusu uwezo uliobeba, namna ya kujitambua, na jinsi ya kuanza kuishi maisha ya kusudi.rnrnKimeandikwa kwa lugha rahisi, lakini kina nguvu ya kukuamsha na kukupa mwelekeo mpya wa maisha.rnrnNi kwa ajili ya mtu yeyote anayehisi kuna nguvu zaidi ndani yake, lakini bado hajaanza kuzitumia
KUSUDI LAKO, THAMANI YAKO
Kitabu cha kuamsha nguvu, thamani, na kusudi la maisha yako.
Katika dunia yenye kelele nyingi, wengi wamepoteza mwelekeo wa maisha na kujiona kama hawana maana. Kitabu hiki kimeandikwa ili kuwakumbusha watu kuwa hawakuumbwa kwa bahati mbaya – kuna kusudi ndani yao, na thamani yao haitegemei vyeo, mali, au maoni ya watu.
Kupitia sura mbalimbali, Kusudi Lako, Thamani Yako kinagusa moyo, kinaibua tafakari, na kinafungua milango ya matumaini kwa yeyote anayetafuta maana ya kweli ya maisha.
rn“Janga kubwa zaidi maishani siyo kifo, bali kuishi maisha bila kusudi.” – Dr. Myles Munroe
rn
Bei ya Ofa: Tsh 4,999/=
rnKupata nakala yako, wasiliana kupitia WhatsApp: 0657203526