Your Basket

Checkout | Shopping Cart
Kabla Ya Kuingia Kwenye Mahusiano - GetValue
Biashara & Ujasilimia Mali

Kabla Ya Kuingia Kwenye Mahusiano

0
0
  • 5
  • 4
  • 3
  • 2
  • 1
Price:
4,500 Tsh.
Vendor:
Added To Cart:
0
Added to shop:
Oct 04, 2024
Product Views:
10
In category:
Sample

Kabla ya Kuingia kwenye mahusiano kuna mambo ambayo unapaswa kwanza kuyajua ili usianzishe mahusiano ambayo baadae utakuja kujilaumu ni kwanini ulipuuzia kuyajua mambo ya msingi kabla ya kuingia kwenye mahusiano...

Kabla ya kupika chakula huwa unaandaa vitu vinavyohusika ili uweze kuandaa na kupika chakula kizuri na kitamu kama jinsi ulivyokusudia. Chakula kizuri na kitamu ni matokeo kama jinsi ilivyo chakula kibaya kisicho na ladha pia. 

Ndivyo jinsi ilivyo hata furaha katika mahusiano

yako kabla ya ndoa hutegemea zaidi namna ambavyo utakavyoanza na kuendelea kufanya ukiwa kwenye mahusiano hayo na mpenzi wako.

Vijana na watu wengine ambao wana shauku ya kuingia na kuwa kwenye mahusiano huwa

wanataka tu kuingia kwenye mahusiano na kuwa na ndoa pasipo kujua au kujikumbusha kuwa

mahusiano na ndoa nzuri daima hujengwa na watu wanaohusiana vizuri kwa mujibu wa msingi

ambao wameanza kuutengeneza tangia awali.

Kama jinsi ilivyo kwenye kuandaa chakula pasipo kuwa na vitu sahihi na kufuata utaratibu wa kupika basi utajikuta unapika kitu cha ajabu ambacho hautatamani hata kurudia kukila tena.

Mfano unataka kupika dagaa lost ukaanza kuweka maji kwenye sufuria, kisha zikafatia nyanya, kitunguu, chumvi, na mafuta kwa juu. Ni wazi hapa hautapata pishi ulilokusudia kulipata

kwasababu umekosea formula ya kupika dagaa lost.

Ndivyo jinsi ilivyo hata katika mahusiano unapokosa kujua uanze namna gani ili uweze kufanya

maamuzi sahihi kwa kuwa na mahusiano mazuri na unayoyahitaji, basi itakuwia vigumu sana

kuwa na mahusiano yenye furaha na amani ikiwa mwanzo ulianza pasipo kuzingatia vitu fulani

ambavyo nitaenda kuvizungumzia zaidi ndani ya hiki kitabu.

Viungo ambavyo vinafanya pishi liwe tamu ndio sawa na vitu ambavyo nitavielezea

vinavyofanya mahusiano yawe yenye furaha na amani endapo tu utasoma kitabu hiki na

kuzingatia wakati unapotaka kuanzisha mahusiano na mtu yeyote kwaajili ya kuoana, na kujenga familia ambayo kila mmoja anahitaji kuwa nayo.

Endelea kusoma zaidi…

More Products On Discount
25,000 Tsh. 10,000 Tsh.

Sold by: Msafiri Lwihula

98,000 Tsh. 60,000 Tsh.

Sold by: Prophet Pd John

5,000 Tsh. 1,000 Tsh.

Sold by: RAMV MRUMA

10,000 Tsh. 7,000 Tsh.

Sold by: Martin Tindwa

3,999 Tsh. 1,999 Tsh.

Sold by: Daudi Lubeleje

7,000 Tsh. 2,999 Tsh.

Sold by: Said Maumba

Best Sellers List
Best Seller
10,000 Tsh.
(5.4)

Sold by: Gaston Ngailo

Best Seller
10,000 Tsh.
(69.8)

Sold by: Samuel Macha

Best Seller
3,000 Tsh.
(16.4)

Sold by: ABDULKADIR MASSA

Best Seller
10,000 Tsh.

Sold by: PETER TARIMO

Best Seller
4,000 Tsh.

Sold by: Mashaka Khamis

GetValue Recommendations
Old is Gold