JINSI YA KUMSHIRIKISHA MUNGU KATIKA BIASHARA YAKO

Kitabu hiki kinagusa mambo mbalimbali yahusuyo biashara kama vile wazo la biashara,soko,eneo,ubunifu Katika biashara,wasaidizi/wafanyakazi,Dhamira na Ulinzi kwenye biashara.
Pia kwa Kila kipengele kuna OMBI ambalo litakuongoza kumuomba Mungu Ili uweze Kufanikiwa Katika kipengele hicho.